Sami12 tafadhali tembelea hapa:Upendo ni wa moyoni na value ya mtu iko palepale no matter what.
More terms madame,jee ukiwa taifa unaliaga au unapigaga vigeregere?
Unaji over value mno... Una mtoto mmoja halafu una masharti ya "mweusi... mrefu... mkristu..." thamani yako sasa hivi ni kama gari lililotumika na kupata ajali, huwezi kuliuza kama jipya...
Elimu yangu ni chuo kikuu na nina mtoto mmoja na nina miaka 31.mme awe na elimu ya chuo kikuu,miaka 35 and above,mkristu na awe mweusi na mrefu kiasi.aniPM
Kwa malezi bora ya mtoto ni bora kuendelea na baba wa mtoto wako
Elimu yangu ni chuo kikuu na nina mtoto mmoja na nina miaka 31.mme awe na elimu ya chuo kikuu,miaka 35 and above,mkristu na awe mweusi na mrefu kiasi.aniPM
Elimu yangu ni chuo kikuu na nina mtoto mmoja na nina miaka 31.mme awe na elimu ya chuo kikuu,miaka 35 and above,mkristu na awe mweusi na mrefu kiasi.aniPM