Sijui ulipata jibu gani kule BankABC au Kwa rafiki. ila kwa mpango mzima you are right. Ila kwa basi kama unavyosema kwa mkopo si mbaya hata kidogo ISIPOKUWA kabla ya kuliingiza barabarani likatie bima kubwa (comprehesive). Mambo ya mapato ni juu yako. Uko sawa. Biashara nyingi za mabasi huwa zinatokana na mikopo. Unapokwenda benki usiseme nataka mkopo wa kununua basi HUTAPEWA. Njia nyingine ni kumwomba mtu mwenye biashara akuombee mkopo benki. Unapokwenda kuomba msaada pia uangalie majira. Kuna wakati ambao ukienda hutapata ila bra bra tu. Siku ya kuanzisha biashara yako pia usianzishe tu kwa kufuata theoties, hutafika mbali fuata majira. Kama huyajui nitafute kupitia JF helpline.