chakarikamkopo
Member
- May 24, 2012
- 79
- 54
Wapendwa,
Mimi ni practioner wa Microfinance kwa zaidi ya muongo mmoja, naendesha kampuni inaitwa Chakarika Credit Facility ambayo ni limited by guarantee. Kazi imekuwa ikienda vizuri sana kwa maana ya kuwa na wateja na pia marejesho mazuri na wateja kuboresha biashara zao (maisha).
Hatua ambayo kampuni imefikia ni hatua ya kupanuka (scalling up) tatizo ni mtaji. Nimejaribu kufuatilia mkopo kutoka mabenki, kwa kweli masharti yao ni magumu sana, hayatoi nafasi kwa kampuni changa kama hii, licha ya kwamba prospect ya biashara ni kubwa sana sana, hasa kwa vile nimekuwa kwenye hii sekta kwa muda mrefu sana.
Nahitaji mkopo wa kati ya Tsh 50,000,000 - 100,000,000 kwa riba isiyozidi 10- 12% kwa mwaka ili niweze kupata spread ya kutosha kulipa mkopo, gharama za uendeshaji, kulipa madeni chechefu, na kukuza mtaji pia. Muda wa mkopo unaweza kuwa mwaka mmoja na kuendelea kwa marejesho ya kila mwezi au kila kota..... ila nitaomba kipindi cha neema cha angalau mwezi mmoja niweze kukopesha kabla sijaanza kulipa.
Tunaweza kufanya makubaliano yoyote ambayo lender atakuwa comfortable kwayo kunipatia mkopo huu.
Asante,
Mimi ni practioner wa Microfinance kwa zaidi ya muongo mmoja, naendesha kampuni inaitwa Chakarika Credit Facility ambayo ni limited by guarantee. Kazi imekuwa ikienda vizuri sana kwa maana ya kuwa na wateja na pia marejesho mazuri na wateja kuboresha biashara zao (maisha).
Hatua ambayo kampuni imefikia ni hatua ya kupanuka (scalling up) tatizo ni mtaji. Nimejaribu kufuatilia mkopo kutoka mabenki, kwa kweli masharti yao ni magumu sana, hayatoi nafasi kwa kampuni changa kama hii, licha ya kwamba prospect ya biashara ni kubwa sana sana, hasa kwa vile nimekuwa kwenye hii sekta kwa muda mrefu sana.
Nahitaji mkopo wa kati ya Tsh 50,000,000 - 100,000,000 kwa riba isiyozidi 10- 12% kwa mwaka ili niweze kupata spread ya kutosha kulipa mkopo, gharama za uendeshaji, kulipa madeni chechefu, na kukuza mtaji pia. Muda wa mkopo unaweza kuwa mwaka mmoja na kuendelea kwa marejesho ya kila mwezi au kila kota..... ila nitaomba kipindi cha neema cha angalau mwezi mmoja niweze kukopesha kabla sijaanza kulipa.
Tunaweza kufanya makubaliano yoyote ambayo lender atakuwa comfortable kwayo kunipatia mkopo huu.
Asante,