Natafuta mke

Natafuta mke

Tukitumia uzani wa mills unadhani nina milliliter kiasi gani kichwani?

Normal and heathly human being is needed to have atleast 1.5kg of brain, for heathly reasoning.
Ubongo wako inaoneka umeshrink thats y your reasoning capacity is questionable.
 
We naye unakera,watu wako bize na kile kinachoendelea dodoma wa unakuja na masuala ya nke,nenda bar au makoroboi mwanza wako wengi tu.
 
We naye unakera,watu wako bize na kile kinachoendelea dodoma wa unakuja na masuala ya nke,nenda bar au makoroboi mwanza wako wengi tu.

Inaonekana wewe ni timu enl.
Lazima akatweeee tuu na mtaugua sana mwaka huu.
Team agustino ramadhan tunapetaaaa
 
Normal and heathly human being is needed to have atleast 1.5kg of brain, for heathly reasoning.
Ubongo wako inaoneka umeshrink thats y your reasoning capacity is questionable.

Wewe hujioni ndiye mwenye IQ ya kuchovya? Unatafutaje mke kama huna tatizo upstairs? Kwa umri wako nikiasume hukuwahi kudate, ilauliwahi kuona marafiki zako ama kaka zako wakidate, si ndiyo? Hukujifunza kwamba walianza na mahusiano ya kirafiki,seriously dating kisha uchumba na ndoa kufuatia? Wewe unajiona genious kwa kutafuta mke na kuruka vipengele vya chini endelea tu inaweza kuwa mke ni code name!
 
No specific and permanent place for looking a good wife.
Wapo walokutana bar, shopping, kwenye vyombo vya usafir, kazin, shuleni, sehem za ibada, mitandaoni n.k.
No matter eneo au nature ya sehem mliyokutana na maisha yakaenda...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom