Natafuta mke

Natafuta mke

Nipo serious jaman naomba wenye sifa mjitokeze.
 
Hbr zenu wadau? Napenda kujitokeza kwa mara ya kwanza ktk kona hii.
Mimi ni kijana wa miaka 32, elimu yangu ni degree, kaz yangu ni afisa mtendaji kata, din yangu ni mkrito. Natafuta msichana au mwanamke ambaye yupo tayari kuolewa mwenye sifa zifuatazo; 1. Awe na umri kati ya 22 na 32. 2. Awe na elimu angalau ya serikali. 3. Awe tayari kupima vvu. 4. Awe mkarimu, 5.mcheshi
6.mwemye upendo wa dhati.
7.mwaminifu. Naomba kwa aliyetayari anipm.

wacha wee weka picha , elimu ya serikali ndo ipi hy
watakuja tu vuta subra
 
Vigezo karibia vyoooote ninavyo ila nimekosa kimoja tu! ELIMU YA SERIKALI
 
hii elimu ya serikali nadhani wengi hawana, Sijui inatolewa nchi gani hii
 
Naona kila mtu akija anaangalia makosa badala ya ujumbe, mbona typing error n jambo la kawaida sana. Au unataka nawew uonekane great thinker? Haya bhana, penye neno serikali nilimaanisha sekondari, huitaji kuwa na degree kuelewa nilicho maanisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom