- Thread starter
- #41
Habari. Natafuta mwenza wa maisha( mke mtarajiwa)
Naishi Moshi
Umri miaka 36
Kazi ni biashara
Mwanamke awe na sifa hizi
Awe na umri kuanzia 20-35
Alie tayari kua na familia
Mwaminifu na mwenye hofu ya Mungu
Mwanamke mwenye uhitaji anicheki DM tuyajenge!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naishi Moshi
Umri miaka 36
Kazi ni biashara
Mwanamke awe na sifa hizi
Awe na umri kuanzia 20-35
Alie tayari kua na familia
Mwaminifu na mwenye hofu ya Mungu
Mwanamke mwenye uhitaji anicheki DM tuyajenge!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app