Hivi haka kajukwaa kako serious eh!
Habari. Natafuta mwenza wa maisha( mke mtarajiwa)
Awe na umri kuanzia 22-35
Mwanamke mwenye uhitaji anicheki DM tuyajenge!
Ni hayo tu! Asanteni
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
wewe wa 40+ njoo huku furushi mwenzangu nakutaka.Kwahiyo sisi wa 40+ ndio hamtutaki?
wewe wa 40+ njoo huku furushi mwenzangu nakutaka.
Ushapata dadyNina umri miaka 35,
Naishi Moshi
Kazi ni mfanyabiashara
Sifa za mwanamke naemuhitaji
Umri kuanzia 25-35
Awe anaishi Moshi au mikoa ya jirani
Awe amejiajiri au kuajiriwa
Kama single mother awe na mtoto mmoja sio zaidi ya mmoja.
Kama yupo mwanamke alie serious karibu tuyajenge. Anicheki whatsap kwa namba hii 0719010392.
NB; kwa walio serious na uhitaji wa mume tu kama upo kujifurahisha naomba kaa mbali na mimi plz.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app