Natafuta mke wa kweli

HAO ni mamoderators mimi niliandika natafuta Mama mchungaji nimeshangaa kuandikiwa mke wa kweli,,ila siyo mbaya ingawa siyo mantiki yangu
Asante kwa ufafanuzi la nyongeza kwako muombe Mungu atakuongoza nyonta njema huanza asubuhi hata wewe mwenendo wako utachangia kumpata mwanamke unaye muhitaji, kama wewe utulivu F utampata pia mwanamke mwenye utulivu ni F
 
Unasumbuliwa na nyege tu wewe zikikuisha utatamani kufuta huu ujinga, yani tabora yote ukose mwanamke mwenye hivyo vigezo uje umpate humu!!! Kwanza humu wanawake wachache sana na pia wengi wao wanaishi Dar.....sasa wewe ulisikia wapi mwanamke atoke Dar aende kufata bwana Tabora?!....
 

Unauhakika huyu dadayako huku Tabora anazo hizo sifa? Mbona unanilazimisha kumuoa?pia sitaki kuoa kwenyee Familia yenu,,akili zimeisha kuliko divai ya harusi ya kana!.
 
Ngozi nyeupeee! 📌

Ulipata ufumbuzi wa ishu yako ya meno? Gharama zao zikoje? Nipe connection kama wapo Misungwi, Mwanza au Dar 🙏🏿
Najutaa🤣🤣acha nichanganye damu bwana....

Yes nilienda hospital ya serikali ,nitawekea hapo
Yale meno og ambayo SI ya kutoa, 1 laki moja
 
Kwani huwa unao wa uongoo?
 
Mbona uko mkoa wenye pisi kali (wanyamwezi), hujaona kwelii
 
Wewe ni anduje mwenzangu ,hizo habari za mfupi wa wastani ni kujificha kwenye kichaka cha urefu
 
Mwamba tukikaa na wewe vizuri utatupa semina au kilichokukuta ni SIRI YAKO?
 
wewe huenda ni mkaazi wa tabora mkuu,ila umesahau sehemu moja yenye wanawake wa kuoa,aende busondo,kuna binti mlokole na mahali yake haizidi 2m tu mwambie anipm ila wanawake wa humu wote ni wachamungu ila ukiwaweka ndani rangi zote utaziona. mwambie anipm nimpeleke busondo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…