Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,742
- 21,874
Fafanua Daktari wa aina gani?Za leo wana JF,
Natafuta mke wa kuoa ambae ni daktari, awe mkristo, umri kwangu sio kigezo, na awe mcha Mungu, umri wangu ni miaka 32 na elimu yangu ni degree holder, nipo serious mwenye nia ani PM.