Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,513
- 3,437
Usijesema hukuliona tangazo 😆Kila la kheri
Usijesema hukuliona tangazo 😆Kila la kheri
Sijakidhi vigezo mkuuChangamka wewe ebooo 😀
Alaah kumbe, kipi umekosa?Sijakidhi vigezo mkuu
ChilulumoSiriasi inapatikana mkoa gani hapa Tanzania?
WeupeAlaah kumbe, kipi umekosa?
Rangi ambayo inapatikana hata dukani 😀😀Weupe
Bas nimekosa wa kunihudumia,nipake mafuta expensiveRangi ambayo inapatikana hata dukani 😀😀
Kwani kuku wa kizungu na kienyeji yupi anathaminika kwa sasa?Bas nimekosa wa kunihudumia,nipake mafuta expensive
Kisasa bei chee mkuuKwani kuku wa kizungu na kienyeji yupi anathaminika kwa sasa?
Yaani yenye bei chee iwe na value kuliko bei mlima?Kisasa bei chee mkuu
Life goes on...tuache mkuuYaani yenye bei chee iwe na value kuliko bei mlima?
Ila mkuu we si engaged tayariLife goes on...tuache mkuu
Thanks BossKila la kheri...
Yuko mmoja vere siriaz lakini ni mgogoHabari ya leo wakuu,
Natumia nyote mnaendelea vizuri kabisa
Kama nilivo andika katika kichwa Cha habari kuwa natafuta Mke Wa kuoa aliye siriasi na ambaye yuko tayari kuanza mahusiano ya ndoa
Mimi ni kijana wa miaka 30
Shughuri yangu mjasiriamali
Elimu yangu kidato Cha nne
Muonekano wangu ni mwembamba na rangi ni maji ya kunde
Naishi Dar Es Salaam
Mke nnaye muhitaji
Awe na elimu kuanzia kidato Cha nne
Awe maji ya kunde au mweupe
Awe na muonekano mzuri
Awe ni msikivu na mtii
Asiwe anatumia kilevi chochote
Awe mkweli na muwazi kwa kila kitu
Asiwe mbinafsi kwa kila pesa na vitu tunavyo kusanya aone kama ni vyetu si vya mmoja
Awe ni mtu anaye penda maendeleo ya pamoja kama familia si pesa ime patikana ana taka apewe ili anunue vitu vyake binafsi hilo hapana
Lazima tufanye Jambo kwa pamoja na tufanye maendeleo ya pamoja kama kujenga nyumba, kuanzisha miradi mipya n.k
Hata kama hauna shughuri ya kufanya tuta fanya wote shughuri nnazo fanya
Uliye siriasi unaweza kuni tafuta pm ama kwa email yangu travoradriano@gmail.com
Sita jibu comment hapa public pia kutokana na baadhi ya members kupinga post za namna hii sito jali kwa utakaye ongea baya lolote najua yote yana pita tu
Muhimu lengo langu ni moja tu natafuta Mke