Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 54,852
- 53,827
Miaka 50 ya tabu
Nilikuwa AngolaUlaya au south Africa? 🤓
Yoyote yule atakayetokea sawa tu,maana niko fiti kwa kila kituKwa umri huo kupata mke mbona easy mzee wangu,hapo Ili mambo yasiwe mengi tafuta singo maza mwenye miaka 38-45 na huko iringa wapo wengi sana
Usitake kujibebesha kitoto Cha 2000 kitakusambaratisha mapema sana kwenye uso wa dunia
Unajua kuuguwa kwa mtu inawezekana yeye ndiye akakukosesha amani unayemuuguza,kwa mfano anasema hakutaki wewe ndiye unayemloga sasa utaendelea kuishi naye?Huwezi kuelewa kwa sababu hautaki kuelewa.Nakutakia utafutaji mwema wa mke mwingine.
Hata mimi nilikuwa kijana na wewe siku moja utazeeka,na kuzeeka hakumfanyi mtu akose haki zake kama anauwezo wa kumtunza mkeUnajua kuuguwa kwa mtu inawezekana yeye ndiye akakukosesha amani unayemuuguza,kwa mfano anasema hakutaki wewe ndiye unayemloga sasa utaendelea kuishi naye?
unataka mume au muandiko?Mzee wa miaka 50 unaandikaje UMELUDI!!?
unataka mume au muandiko?
Naona anataka muandikounataka mume au muandiko?
"Mjomba wako junior anakuita nje uende ukamuoshe" alisikika shemeji yake akimuita.Niko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka 1997 sasa nimeludi Tanzania nimepoteza koneksheni zote maana yake sina marafiki
Nimeshajikatia tamaa sikujua kupata mwanamke wa kuowa Tanzania ni vigumu hivi,kibaya zaidi hata madada poa hapa ninapoishi wanasura mbaya sijapata kuona ngoja nijiludie zangu huko kwenye vurugu nikakomae hivyohivyoUtapata Mkuu , JF ni mtandao mkubwa sana kuwahi kuwepo Tanzania.
Niko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka 1997 sasa nimeludi Tanzania nimepoteza koneksheni zote maana yake sina marafiki
Junior mpaka sasa hivi mama yake hajamvua pampars ananuka mavi naogopa hata kumsogelea"Mjomba wako junior anakuita nje uende ukamuoshe" alisikika shemeji yake akimuita.
Mbona Angolian ni wazuri sana umeshindwaje kupata mke huko?Nilikuwa Angola
Nimeshajikatia tamaa sikujua kupata mwanamke wa kuowa Tanzania ni vigumu hivi,kibaya zaidi hata madada poa hapa ninapoishi wanasura mbaya sijapata kuona ngoja nijiludie zangu huko kwenye vurugu nikakomae hivyohivyo
kwa hiyo kama sina Pesa Tanzania sipati mke?Hakikisha una PESA kwanza.
At ur age , we expect two things kutoka kwako
Money and wisdom
Nimepigwa repration nimeludishwa bongo,foi mandado imbora para TanzaniaMbona Angolian ni wazuri sana umeshindwaje kupata mke huko?
Mke wa miaka 26
Kasahaulika ndani ya miezi mi4
Vipi imethibitika hawezi kupona mkuu?
bado yupoMke wa miaka 26
Kasahaulika ndani ya miezi mi4
Vipi imethibitika hawezi kupona mkuu?