Natafuta mke wa kula naye uzee

mwanamkongwe

Member
Dec 30, 2016
37
25
Natafuta mke wa kula naye uzee mwenye sifa hizi:

  • Awe na umri miaka35-47,
  • Awe mkiristo,
  • Ambaye hazai
  • Awe tayari kunilea

Wasifu wangu:

  • Nina miaka 64
  • Nina watoto 6 wa mwisho ana miaka5
  • Mimi ni mgane,
  • Retired since 2020 January
  • Mjasilia Mali na mkulima wa vitunguu mpunga na mfugaji wa kuku na nguluwe

Niko tayari kukuhudumia na kukupenda kwa moyo. Karibu chaguo langu njoo inbox
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom