Nakuelikeza pmYaani wewe umemzalisha mtu afu unataka kumpata ambaye hajazaa? Kwanini usimchukuwe mama mtoto?
Sio ubinafsi Bali nimesema kile ninachokitaka kwasasa. PIA, nimeona humu dada analalamika kwa habari ya kuchangia watoto. Anataka kuachana tens na mwenzakeUbinafsi unawasumbua na roho mbaya tu wew mbn una mtot hutak mwenye mtot
Njoo pm nipe number yakonjoo kwangu
Wewe unatafuta YAYA sio NKEMimi Ni mwanaume umri wangumiaka 35 Nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamke awe na sifa zifuatazo; awe mkristu hasa rc, ambaye hajazaa atafikiriwa zaidi, awe muajiriwa. Mengine njoo pm
Acha uwoga,huyo dada stori yake ndo inakutisha?Sio ubinafsi Bali nimesema kile ninachokitaka kwasasa. PIA, nimeona humu dada analalamika kwa habari ya kuchangia watoto. Anataka kuachana tens na mwenzake
Hapana kila mtu na mtazamo wakeAcha uwoga,huyo dada stori yake ndo inakutisha?
Nimekosa kigezo kimoja hapoMimi Ni mwanaume umri wangumiaka 35 Nina mtoto mmoja. Natafuta mwanamke awe na sifa zifuatazo; awe mkristu hasa rc, ambaye hajazaa atafikiriwa zaidi, awe muajiriwa. Mengine njoo pm
Kipi umekosa? Njoo pmNimekosa kigezo kimoja hapo
Wew c dume au umebadil jinsiaVp mkuu nije PM
Yeye asumbukae na kulemewa na upweke nawe utampumzshanjoo kwangu
Wewe mbona haujajitambulisha kazi yakoMimi ni mwanaume umri wangumiaka 35, nina mtoto mmoja.
Natafuta mwanamke awe na sifa zifuatazo; awe mkristu hasa RC, ambaye hajazaa atafikiriwa zaidi, awe muajiriwa.
Mengine njoo PM.
Shangaa na weweYaani wewe umemzalisha mtu afu unataka kumpata ambaye hajazaa? Kwanini usimchukuwe mama mtoto?