Natafuta mke umri miaka 25 hadi 32

Mimi ni mwanaume umri wangumiaka 35, nina mtoto mmoja.

Natafuta mwanamke awe na sifa zifuatazo; awe mkristu hasa RC, ambaye hajazaa atafikiriwa zaidi, awe muajiriwa.

Mengine njoo PM.
Ni heri ukae na mama wa mtoto kuliko kutafuta mwingine,
 
Usitake unayoyapenda wewe kila mtu ayaseme. Kila mtu Ana maoni yake. Huyo unayedhani nimemuacha mimi hujui Tu. Mengine hatuandiki yote hapa sio mahala pale kama unataka njoo pm
Hapana mkuu hata mimi ni maoni yangu tu kwamba unaweza kuwa mwaminifu lakini mengine yakawa sifuri teh naona umekasirika unataka ukanichambie pm samahani mkuu naomba yaishe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom