Habari za hapa wana jukwaaa!! nimeingia JF kwa lengo la kutafuta mwenza wa maisha, mimi naamini popote inawezekana kwa uwezo wa Mungu.
Mimi ni mwanaume wa miaka 36
Mrefu - maji ya kunde
Sio mnene sio mwembamba
Naishi dar es salaam
Nafanya kazi na biashara
Mkristo / Lutheran
Mke nayemtafuta:
Umri 23 - 33
Asiwe mnene wala mwembamba saana
Awe mrefu kiasi (asiwe mfupi)
Kabila lolote,
Akiwa mweupe kiasi nitafurahi zaidi (ila sio lazima hata maji ya kunde + chocolate colour sawaa)
awe mtanashati, mzurii na nayejitambua.
Naomba PM kwa aliyekuwa serious tu, au kama una ndugu ama rafiki naomba masaada wa connection.
kama atakuwa nje ya mkoa wa dar es salaam hata iwe wa kijijini ni sawa ila awe tayari kuja dar kuonana baada ya mawasiliano.
Asanteni saana
Mimi ni mwanaume wa miaka 36
Mrefu - maji ya kunde
Sio mnene sio mwembamba
Naishi dar es salaam
Nafanya kazi na biashara
Mkristo / Lutheran
Mke nayemtafuta:
Umri 23 - 33
Asiwe mnene wala mwembamba saana
Awe mrefu kiasi (asiwe mfupi)
Kabila lolote,
Akiwa mweupe kiasi nitafurahi zaidi (ila sio lazima hata maji ya kunde + chocolate colour sawaa)
awe mtanashati, mzurii na nayejitambua.
Naomba PM kwa aliyekuwa serious tu, au kama una ndugu ama rafiki naomba masaada wa connection.
kama atakuwa nje ya mkoa wa dar es salaam hata iwe wa kijijini ni sawa ila awe tayari kuja dar kuonana baada ya mawasiliano.
Asanteni saana