Huyo anaesema "kufa mwenyewe"nahisi kavurugwaaa tena tigooo yake imevurugwaaaaaa
Huna ndugu zako walioathirikaa,??
Wewe umepima???
Hufanyi ngono???
Kumbuka Ukimwi haubagui ukila chaka unakutana nao tena tema chini na muogope aliekuumbaaa
Mdomo mchafuuu kama brashi ya kudekia vyoo vyaa Tabora boyssss