edwin4
JF-Expert Member
- Nov 27, 2016
- 287
- 219
Ndugu wana JF, Natafuta mke mwenye moyo wa kumpenda Yesu si kwa kuigiza, ili aje anilelee watoto vizuri .maana ktk malezi, mama ndo kilakitu kwakweli.
Dondoo:
Nina miaka 30, ni mtumishi wa umma, napenda sana ibada tena sanaa kwakweli(naabudu makanisa ya kipentecost).
Karibuni kwa maoni na ushauri!
Dondoo:
Nina miaka 30, ni mtumishi wa umma, napenda sana ibada tena sanaa kwakweli(naabudu makanisa ya kipentecost).
Karibuni kwa maoni na ushauri!