Daktari halafu single?
We sema ukweli unataka wa kugegeda tu..
Daktari halafu single?
We sema ukweli unataka wa kugegeda tu..
Daktari au mganga wa kienyeji??????
mimi ni mwema ila nina 40 can we??????????
mimi ni mwema ila nina 40 can we??????????
Ngoja niwaulize wake za madakitare siri ya hao watu Kim nana ukuje huku.... Evelyn Salt na wewe si dada wa dakitare njoo nipe mauzoefu kabla sijatuma application
ww sema tu umemzimikia dr.
Kitu cha dactaree kubali kushea yaan nesi ni mke wa pili huku mgonjwa ni mke wa tatu
Ngoja niwaulize wake za madakitare siri ya hao watu Kim nana ukuje huku.... Evelyn Salt na wewe si dada wa dakitare njoo nipe mauzoefu kabla sijatuma application
Madaktari mxiuuuu!!
wagonjwa wote hujaona?Ni daktari niko singo namtafuta mke awe na umri kuanzia 22-27 elimu 4m 4 -- chuo ani pm
Mmmmhhh acha kunkatisha tamaa najua wivu tu unakusumbua
unaboa bhana yaan unataka wanaume hata mbele yangu?