Natafuta mke mwema

Natafuta mke mwema

Kabla sijaku pm we ni dakitari kweli??? au we ndo dokita kisarawe????
 
Ni daktari niko singo namtafuta mke awe na umri kuanzia 22-27 elimu 4m 4 -- chuo ani pm

kwanza nitibu huu ugonjwa nilionao ndo uje apa kutaftamke ndo niajua wew dr maana wale manes wa kiume wanajiita ma dr
 
Siku hizi umakini unahitajika kama alivosema mdau hapo juu. Kuna jamaa alimpata mchumba via facebook wakakubaliana kukutana sehemu, huyo dada kaenda na rafiki yake, walivofika wakaambiwa twendeni patulivu, wakaenda then, ndo ikawa mwisho wa wale wasichana waliuawa kwa kukatwa shingo. My take: tuwe makini na mahusiano ya mitandao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom