Natafuta mke mwema 'wife material'

Dona Kantri

JF-Expert Member
Dec 13, 2012
346
115
Naanza hivi;
Baada ya kuishi pekeyangu kwa muda sasa, nimeamua kujitokeza kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa hili kutafuta mke ambaye yuko tayari kuolewa awe na elimu yoyote isipokuwa darasa la saba.......kwayeyote atakae kuwa tayari basi anipm then nitampm back.
take it seriously.
 
Jieleze vizuri basi upate kuuzika; umri wako, dini, preferences etc... yani mtu awe tayai tu hata bila kuwa na idea wewe ni mtu wa aina gani? waweza kumbana na dadako ama hata shangazi yako namna hii.
 
Jieleze vizuri basi upate kuuzika; umri wako, dini, preferences etc... yani mtu awe tayai tu hata bila kuwa na idea wewe ni mtu wa aina gani? waweza kumbana na dadako ama hata shangazi yako namna hii.

kumbee?? kuhusu kabila awe kabila lolote isipokuwa mmachame, dini awe mkristo, umri awe aged between 22-26, awetayari kuishi mwanza, na asiwe mlevi
 
na hiyo ndoa unataka kufunga lini?
umri?
dini?
unafanya kazi?
kipato vipi?

miss chagga.....ndoa ni angalau miezi miwili baada ya kumpata, kazi mimi nimuajiliwa wa kampuni moja hapa mwanza na ninajishughulisha na biashara ndogo ndogo mwanza na geita...
 
miss chagga.....ndoa ni angalau miezi miwili baada ya kumpata, kazi mimi nimuajiliwa wa kampuni moja hapa mwanza na ninajishughulisha na biashara ndogo ndogo mwanza na geita...

Geita????? nasikia biashara kuu huko ni dhahabu kuna kipindi niliwahi kutembelea huko.. utapata mchumba subiri aje.
 
miss chagga.....ndoa ni angalau miezi miwili baada ya kumpata, kazi mimi nimuajiliwa wa kampuni moja hapa mwanza na ninajishughulisha na biashara ndogo ndogo mwanza na geita...

aya lakini nimekosa sifa moja ya kuwa mmachame? asante sana utapata tu usijali...
 
Mke mwema?? Haya nakutakia kila la kheri, angalia, ili upate mke mwema ni lazima kwanza uwe nao wengi waovu na wabaya, atakaye feli mtihani wa uovu, huyo ndiye atakaye kuwa mwema
 
Naanza hivi;
Baada ya kuishi pekeyangu kwa muda sasa, nimeamua kujitokeza kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa hili kutafuta mke ambaye yuko tayari kuolewa awe na elimu yoyote isipokuwa darasa la saba.......kwayeyote atakae kuwa tayari basi anipm then nitampm back.
take it seriously.
hapo kwenye red mmmmmh!!!!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom