Dona Kantri
JF-Expert Member
- Dec 13, 2012
- 346
- 115
Naanza hivi;
Baada ya kuishi pekeyangu kwa muda sasa, nimeamua kujitokeza kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa hili kutafuta mke ambaye yuko tayari kuolewa awe na elimu yoyote isipokuwa darasa la saba.......kwayeyote atakae kuwa tayari basi anipm then nitampm back.
take it seriously.
Baada ya kuishi pekeyangu kwa muda sasa, nimeamua kujitokeza kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa hili kutafuta mke ambaye yuko tayari kuolewa awe na elimu yoyote isipokuwa darasa la saba.......kwayeyote atakae kuwa tayari basi anipm then nitampm back.
take it seriously.