Baraka DSM
Member
- Sep 12, 2017
- 67
- 71
Habari wana love connect......
Natafuta mke wa kuoa serious;sifa zangu
-Age 29
-Kazi Mwajiriwa
-Elimu Degree ya kwanza
-Dini Mkristo
-Makazi Dar es salaam
sifa za mke nimtakaye
-Age 20-28
-Kazi ata asipokua nayo sawa tu,
-Elimu Certificate,Diploma,Degree, Masters,PHD
-Dini mkristo
-Makazi popote Tanzania.
Nakaribisha PM jamani,karne hii familia zinaanzia popote ata kwenye daladala watu wanatongozana na wanaoana.
Natafuta mke wa kuoa serious;sifa zangu
-Age 29
-Kazi Mwajiriwa
-Elimu Degree ya kwanza
-Dini Mkristo
-Makazi Dar es salaam
sifa za mke nimtakaye
-Age 20-28
-Kazi ata asipokua nayo sawa tu,
-Elimu Certificate,Diploma,Degree, Masters,PHD
-Dini mkristo
-Makazi popote Tanzania.
Nakaribisha PM jamani,karne hii familia zinaanzia popote ata kwenye daladala watu wanatongozana na wanaoana.