Baraka DSM
Member
- Sep 12, 2017
- 67
- 71
- Thread starter
- #21
Kujifanyaga mnajua kila kituSafi sana mkuu!
Nahisi mtoa mada hajashirikisha fikra kwenye andiko lake!
brain is the beautiful part of the body.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujifanyaga mnajua kila kituSafi sana mkuu!
Nahisi mtoa mada hajashirikisha fikra kwenye andiko lake!
brain is the beautiful part of the body.
Huyo atayeku pm wakati hajui sifa zako ujue ana walakiniJamani mbona PM hamna kitu, mpaka sahzi
Kama wewe vile!
Hehehe....... faizafoxy anavosema shule walienda kusomea ujinga wanakasirika!
DaaahHehehe....... faizafoxy anavosema shule walienda kusomea ujinga wanakasirika!
brain is the beautiful part of the body.
Hehehe neema kweli wewe ni standard seven leaver?Aiseeh naona kwenye swala la elimu umetutupa nje, tufikirie na sisi wa darasa la saba
NdiyoHehehe neema kweli wewe ni standard seven leaver?
brain is the beautiful part of the body.
jamani bado tu, sifanikiwa.........Habari wana love connect......
Natafuta mke wa kuoa serious;sifa zangu
-Age 29
-Kazi Mwajiriwa
-Elimu Degree ya kwanza
-Dini Mkristo
-Makazi Dar es salaam
sifa za mke nimtakaye
-Age 20-28
-Kazi ata asipokua nayo sawa tu,
-Elimu Certificate,Diploma,Degree, Masters,PHD
-Dini mkristo
-Makazi popote Tanzania.
Nakaribisha PM jamani,karne hii familia zinaanzia popote ata kwenye daladala watu wanatongozana na wanaoana.
jamani bado tu, sifanikiwa.........