MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,088
- 65,058
Wasalaam ndugu zangu.
Samahani kwa wale ndugu zangu wanaoishi Arusha naomba wanipe mwongozo ya sehemu yenge mgahawa mzuri wa chakula.
Nataka kujua wanatoa vyakula gani na wanafunga saa ngapi.
Pia naomba nipate msaada kama kuna sehemu huwa wanapiga live band usiku mtakuwa mnisaidia sana.
Na kama mtu anaijua tovuti ya sehemu hizo naomba anisaidie kuiweka hapa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati,
Mchana mwema!
Samahani kwa wale ndugu zangu wanaoishi Arusha naomba wanipe mwongozo ya sehemu yenge mgahawa mzuri wa chakula.
Nataka kujua wanatoa vyakula gani na wanafunga saa ngapi.
Pia naomba nipate msaada kama kuna sehemu huwa wanapiga live band usiku mtakuwa mnisaidia sana.
Na kama mtu anaijua tovuti ya sehemu hizo naomba anisaidie kuiweka hapa.
Natanguliza shukrani zangu za dhati,
Mchana mwema!