K Kenyan Gentleman Member Joined Feb 9, 2015 Posts 5 Reaction score 5 Feb 24, 2015 #1 Habari wanajukwaa..tafadhali nani anajua ni wapi dar au arusha naweza kuipata hiyo simu? Nashkuru in advance...
Habari wanajukwaa..tafadhali nani anajua ni wapi dar au arusha naweza kuipata hiyo simu? Nashkuru in advance...
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,220 Reaction score 44,194 Feb 24, 2015 #2 wacheki midcom dar, wao ndo wanahusika na simu za lumia east africa. wana duka karibu na kituo cha polisi msimbazi kkoo.
wacheki midcom dar, wao ndo wanahusika na simu za lumia east africa. wana duka karibu na kituo cha polisi msimbazi kkoo.
the locksman JF-Expert Member Joined May 5, 2012 Posts 1,105 Reaction score 357 Feb 24, 2015 #3 pia airtel UCHUMI zipo nimeziona jana.
K Kenyan Gentleman Member Joined Feb 9, 2015 Posts 5 Reaction score 5 Feb 24, 2015 Thread starter #4 thanks guys!
kidonto JF-Expert Member Joined Jan 5, 2014 Posts 2,322 Reaction score 3,604 Jun 21, 2015 #5 Nimechukua juzi mlimani city kwenye office za tigo, hata airtel