Blackman
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 836
- 312
Habari za mihangaiko wadau
Bila kupoteza muda wakubwa na wadogo zangu mimi kama kijana mwenzenu naomba msaada
Kwa yeyote anayemjua mfugaji wa kuku wa mayai anifahamishe. Kinachohitajika ni mayai, nahitaji mayai kwa ajili ya kuuza jumla jumla. Nahitaji kutoka kwa mkulima si kwa dalali.
Nipo moro mjini, itakuwa poa kama mkulima atakuwa Morogoro au Pwani
No:0715633900
Bila kupoteza muda wakubwa na wadogo zangu mimi kama kijana mwenzenu naomba msaada
Kwa yeyote anayemjua mfugaji wa kuku wa mayai anifahamishe. Kinachohitajika ni mayai, nahitaji mayai kwa ajili ya kuuza jumla jumla. Nahitaji kutoka kwa mkulima si kwa dalali.
Nipo moro mjini, itakuwa poa kama mkulima atakuwa Morogoro au Pwani
No:0715633900