4400
Senior Member
- Aug 29, 2015
- 122
- 44
jamani we kama unahisi hii post inakukwaza sanaaaaa au haikuhusu, just read and pass, sio lazima ujionyeshe kuwa wewe mjuaji sanaaaaa na kumsaidia Mungu kazi, people are tooooo judgemental in here, sio lazima watu tufanane vipaumbele.
Toa wasifu wako, elimu kazi, unatokea mkazi wa wapi, jifafanue vuzuri