Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

habari wana jf, kichwa cha habari chajieleza;

mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28, mkristu,mweusi kwa rangi(chocolate), elimu yangu ni ya ngazi ya shahada, ni muajiriwa serikalini.

ninatafuta mchumba(mwanaume) mwenye umri wa kuanzia miaka 30,mcha Mungu,mkristu, elimu kuanzia shahada kwenda juu, aliyejiajiri au kuajiriwa,muelewa, muaminifu,muwazi na mkweli.

aliye na uhitaji kama mimi na aliye serious pekee ani-pm, tafadhali kama hauko serious just spare me with the trouble please.


Nakutakia kila la kheri, Usisahau kutoa mrejesho Ili tukupongeze!!
 
mimi nina sifa zote unazotaka
Ni mkristo
umri miaka 32
Ni Mwana Chadema
Nimejiajiri (nina ofisi zangu zinazoniingizia kipato)
Ila tatizo moja tu elimu yangu darasa la 7.
sijui ntakufaa?
 
mimi nina sifa zote unazotaka
Ni mkristo
umri miaka 32
Ni Mwana Chadema
Nimejiajiri (nina ofisi zangu zinazoniingizia kipato)
Ila tatizo moja tu elimu yangu darasa la 7.
sijui ntakufaa?

Kwa kigezo hicho ngoja nikupigie chapuo....dada missrena mchumba na mume mtarajiwa huyu hapa.
Elimu sio kigezo,ukimkatalia huyu utajutia.
 
Last edited by a moderator:
mimi nina sifa zote unazotaka
Ni mkristo
umri miaka 32
Ni Mwana Chadema
Nimejiajiri (nina ofisi zangu zinazoniingizia kipato)
Ila tatizo moja tu elimu yangu darasa la 7.
sijui ntakufaa?
Mbwa dume kwangu inaweza isiwe shida ila hofu yangu ni inferiority complex wanazokuwa nazo wanaume endapo anakuwa amezidiwa elimu na mwanamke(au chochote), so am sory.
 
Last edited by a moderator:
mchumba anaandaliwa
made your efforts
God is mighty never shall he abandon your prayers
 
Mbwa dume kwangu inaweza isiwe shida ila hofu yangu ni inferiority complex wanazokuwa nazo wanaume endapo anakuwa amezidiwa elimu na mwanamke(au chochote), so am sory.

Kwa hiyo ndo unanitosa kisa elimu?
mbona nimejiajiri na ktk shughuri zangu nimeajiri watu wenye elimu ya juu na nnawalipa mshahara mzuri pengine kuzidi hata mshahara wa mwalimu wa ccm!
Sikusoma kutokana na wazazi kukosa uwezo si unajua tena enzi za ccm elimu mpaka uwe mtoto wa mfanyakazi!
Nikubali jamani na kwa elimu yako unafaa kuwa manager wa miradi yangu!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo ndo unanitosa kisa elimu?
mbona nimejiajiri na ktk shughuri zangu nimeajiri watu wenye elimu ya juu na nnawalipa mshahara mzuri pengine kuzidi hata mshahara wa mwalimu wa ccm!
Sikusoma kutokana na wazazi kukosa uwezo si unajua tena enzi za ccm elimu mpaka uwe mtoto wa mfanyakazi!
Nikubali jamani na kwa elimu yako unafaa kuwa manager wa miradi yangu!

Hata mimi sioni sababu ya dada missrena kukukatalia sababu ya hicho kigezo cha elimu.
Ila na wewe kamanda mwenzangu sio walewale wanaokosa amani kisa mke kakuzidi elimu?
Je elimu yake haitokuwa tatizo kwako?
Hebu jieleze vizuri nikupiganie kaka yangu umvute wifi msomi ndani tuicheze harusi sie.
Huku Lowassa anaapishwa huku tunaicheza harusi kwa raha zetu.
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi sioni sababu ya dada missrena kukukatalia sababu ya hicho kigezo cha elimu.
Ila na wewe kamanda mwenzangu sio walewale wanaokosa amani kisa mke kakuzidi elimu?
Je elimu yake haitokuwa tatizo kwako?
Hebu jieleze vizuri nikupiganie kaka yangu umvute wifi msomi ndani tuicheze harusi sie.
Huku Lowassa anaapishwa huku tunaicheza harusi kwa raha zetu.
nifah am speaking out of experience mamii, hv been there, though watu hutofautiana ila hapana, ona hata tambo zake hapo!
 
Last edited by a moderator:
nifah am speaking out of experience mamii, hv been there, though watu hutofautiana ila hapana, ona hata tambo zake hapo!

Absolutely.....
Lakini kwani kuna ubaya gani kumchunguza huyu nae kama ni walewale?
Unatafuta mchumba..go on,date nae kama hafai unamuweka pembeni tu.
Lakini trust me,naona kitu ndani ya huyu kaka....usimkatae.
Mimi pia ni mwanamke,na siwezi kukutumbukiza ktk shimo bovu,hebu fanya hivyo pls!!
Utakuja niambia,you'll never regret.
Labda uwe unatafuta mchumba msomi ambao wengi wamejaa majigambo na ujuaji mwingi na utajutia!
 
Last edited by a moderator:
nifah

Kwa hilo chapuo unalompigia jamaa nimekukubali...

Ungekuwa karibu ungenilainishia mrembo fulani anayechukia wanaume..
 
Last edited by a moderator:
habari wana jf, kichwa cha habari chajieleza;

mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28, mkristu,mweusi kwa rangi(chocolate), elimu yangu ni ya ngazi ya shahada, ni muajiriwa serikalini.

ninatafuta mchumba(mwanaume) mwenye umri wa kuanzia miaka 30,mcha Mungu,mkristu, elimu kuanzia shahada kwenda juu, aliyejiajiri au kuajiriwa,muelewa, muaminifu,muwazi na mkweli.

aliye na uhitaji kama mimi na aliye serious pekee ani-pm, tafadhali kama hauko serious just spare me with the trouble please.

Mwamke ninamashaka na imani yako?? Hivi ni nani amekuambia mume mwema anapatikana kwenye mitandao?? Kwa nini usisimame Katika nafasi yako na kumuomba Mungu akupe mume?? Kama ni mapenzi yako utampata huyo na hivyo vigezo vyako na mbele utakuja kulia na kusaga meno. Mkumbuke Mungu siku za ujana wako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom