Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

habari wana jf, kichwa cha habari chajieleza;

mimi ni binti mwenye umri wa miaka 28, mkristu,mweusi kwa rangi(chocolate), elimu yangu ni ya ngazi ya shahada, ni muajiriwa serikalini.

ninatafuta mchumba(mwanaume) mwenye umri wa kuanzia miaka 30,mcha Mungu,mkristu, elimu kuanzia shahada kwenda juu, aliyejiajiri au kuajiriwa,muelewa, muaminifu,muwazi na mkweli.

aliye na uhitaji kama mimi na aliye serious pekee ani-pm, tafadhali kama hauko serious just spare me with the trouble please.

Wew n mwanamke jasiri...Mungu n mkubwa utapata...ngoj nmtel ma friend hyo offer cz nae anatafut bby mwnye xsticz ka zako....yey n 25th anatimza 30...
 
mama wachumba hawapatikani huku jf,,,,,,kwani mtaani kwenu mnaishi wanawake watupu?
 
Unantia mashaka mtafuta mchumba, kwa ubabe huo, labdaa utampata gwajima, ila mm Mbasha wacha nijiweke pembeni!
 
Unantia mashaka mtafuta mchumba, kwa ubabe huo, labdaa utampata gwajima, ila mm Mbasha wacha nijiweke pembeni!
Jina lako limeifanya siku yangu iwe muruaa, unajua juzikati nilikuwa Mkoani Lindi kule nako nilikutana na shule yenye jina kama hilo basi limenikumbusha kitu fulani.
 
Jina lako limeifanya siku yangu iwe muruaa, unajua juzikati nilikuwa Mkoani Lindi kule nako nilikutana na shule yenye jina kama hilo basi limenikumbusha kitu fulani.

Hahaha! Ulienda Ngende nn mzee! Mwenyew niliikutaga huko huko pande za liwale sio.
 
Unantia mashaka mtafuta mchumba, kwa ubabe huo, labdaa utampata gwajima, ila mm Mbasha wacha nijiweke pembeni!


hata gwajima naye si ni binadamu jamani! au yeye hana haki ya kuwa na mke?

by the way kikufaacho wewe sicho kimfaacho yule, sijui ubabe gani unaouongelea lkn.
 
mama wachumba hawapatikani huku jf,,,,,,kwani mtaani kwenu mnaishi wanawake watupu?

Watu ka nyie ndo hua mnaaribu mitandao ya kijamii,....hamna uelewa wa kutosha........kama wewe unataka kuoa mtaani kwako humu umefata nn,......alafu unajiita recture,.....
 
Watu ka nyie ndo hua mnaaribu mitandao ya kijamii,....hamna uelewa wa kutosha........kama wewe unataka kuoa mtaani kwako humu umefata nn,......alafu unajiita recture,.....

nashukuru kwa kumjibu, maana if thats the case kusingekuwa na jukwaa hili, huyo atakuwa ni mmoja wa wanaotumia vibaya mitandao.
 
unaweza kunithibitishiaje kuwa huamini ktk hilo....

hivi ningeamini ktk hilo hii thread ingekuwa hapa? wewe kama hauamini its okey na siwezi kukulazimisha uamini vinginevyo,mimi nina amini mchumba anapatikana popote maana hawa walioko jf ndio hao hao walioko mitaani, tofauti ni mahali pa kukutania tu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom