Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

ndusyepo

Senior Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
167
Reaction score
50
Naitwa kelvin nina miaka 25 naishi dar, natafuta mwanamke wa kuanzisha nae mahusiano na baadae ndoa sichagui dini,rangi wala kabila uwe tu mpenda maendeleo na mtafutaji na mwenye kujua thaman ya upendo 0755091728 kwa uliyetayar.ASANTE
 
Pepo uliengia katika midomo ya vijana wadogo nakuamuru utoke katika jina la yesu, achia huo mdomo, achia ulimi achia hizo lips....amen
kelvin upo huru, ingia mtaani karushe mistari
 
Pepo uliengia katika midomo ya vijana wadogo nakuamuru utoke katika jina la yesu, achia huo mdomo, achia ulimi achia hizo lips....amen
kelvin upo huru, ingia mtaani karushe mistari

Nakwambia
nimefumba hadi macho kwa aibu nilioiona...!!
 
Pepo uliengia katika midomo ya vijana wadogo nakuamuru utoke katika jina la yesu, achia huo mdomo, achia ulimi achia hizo lips....amen
kelvin upo huru, ingia mtaani karushe mistari

Hahahahah uko vizuri mtumishi
 
mtaan pamoto s kila mwanamke anafaa kuw mke ..ktaa s kitaa tena
 
Pepo uliengia katika midomo ya vijana wadogo nakuamuru utoke katika jina la yesu, achia huo mdomo, achia ulimi achia hizo lips....amen
kelvin upo huru, ingia mtaani karushe mistari

Haki ya nani we mtu wewe sijui unafananaje? Wife wangu amu njoo uone comment ya huyu mtu huku
 
Last edited by a moderator:
Huku sasa ni kuelekea kunirubuni

kukurubuni kidogo tu ndio hadi unitangazie
fanya hivyo uniombee vizuri tena kama maombi yamekubali nianzie kwako ikishindikana turudie maombi hadi unielewe..!!
 
Ha ha ha ulivonikalia kooni sasa lol
hebu ninunulie castle lite kwanza nipoze koo mie

Hapo na wewe umecheza ile ile ya "quid pro quo", something for something!

Bia kwanza namba baadae! Umepata mama, sema ikufikieje tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom