Second Fiddle
JF-Expert Member
- Dec 9, 2014
- 469
- 122
Kigezo cha rangi kimeniangusha. Mimi sio mweusi, ni wa bluu! Ze bluuz!
Tufanye mdogo wake ana miaka 25.
Hivyo 25-12=11, hii ina maana mdogo wake aliolewa akiwa na umri wa miaka 11, kwa hiyo hata shule ya msingi mdogo wa mtu hakumaliza wakati dada yake anasema ana Masters. Mmmmhhhh hili changa la macho.
Tehe tehe teheacha uongo wewe huna hata haya, eti una masters ? duh
hahahahaaaaaaa em muulize vizuri...hyo id yako hujui kuwa kuna mtu anaitwa nameless girl? Au ww ndio Himidini umeamua kubadilisha id ili ziendane na ya mamaa
Mkuu umeua.......................Uwe makini mama maana watajitokeza wengi
Mkuu umeua.......................Uwe makini mama maana watajitokeza wengi
kweli upo tayari na committed nitakucheki PM
Asiwe na mtoto?.Kwani wewe utazaa naye nini?.Hutaki kulea mtoto wa mwanamke mwenzio?.How sure you kuwa wewe watoto utakao zaa nao utawatunza hadi ustaafu?.Ukiondoka mapema na wenyewe wanyanyapaliwe?