Nimependa mapozi yako......lol
sema kweli!?
na picha umeweka washindwe wao tu ngoja waje
Domo limejaa mate kwani huoni ulivyo mzito??
Haha!!!!
Mimi kwa jina naitwa Idd Kilele umri wangu ni miaka 24 naishi Kimara Dar es salaam awe anajua kusoma na kuandika na awe ana mapenzi ya kweli ivo 2 Kwa mawasiliano zaidi 0766935145
labda anatafuta wa kumfuta kamasi...
Nakuona we mjanja (msela) wa mjini
Mweee!!!!! nina aleji na wembamba...
Njoo kwangu,mi giant ntakupa vitu adimu hadi utablo!
Comin! nipande bus gani?