Kizaz cha mulugo shida kweli. Dogo acha nyege zako hizo. Ww bado mtoto sana huiwez kuhimili mikiki ya mapenzi utaishia kulia tu. Ww unataka true love wenzako wanasambaratisha kwa pesa
Aaaah Bwamdogo piga kitabu kwanza tena kwa bidii na uaminifu wote.
Wanawake wapo tu na hawaishi.Na ukifika umri sahihi Piga tu,(PT) kwani hakunaga tena hiyo true love.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.