kobilo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 811
- 1,517
Ahahahaaa Aisee, mvalanda hutaki!
teh...M-valanda nimekuachia wewe ndugu yangu! maana nahisi atakuwa hana shape..
Ahahahaaa Aisee, mvalanda hutaki!
Dem tu anataka!Unataka mchumba au demu wa kumbomoa tu wewe..........
Unataka mchumba au demu wa kumbomoa tu wewe..........
Nina miaka 23, niko mwaka wa kwanza wa stashahada ya ualimu, natafuta mchumba mwenye umri chini ya miaka 22 ambaye hajali uwezo na kipato cha mtu.
Sibagui rangi ya ngozi whether albino or not, muhimu, awe na mapenzi ya dhati na anayejali na pia awe na uamzi wa hakika na siyo kuchezea akili zangu.
Elimu yake iwe kidato cha nne kushuka chini. Dini awe mkristo au mwislamu aliyetayari kubadili dini.
Aliye tayari anitumie namba zake au email kupitia PM tuwasiliane.