Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Mh! andiko lako si serious sana japo kitu unachokiomba ni kitu serious!..
Mi naona umetumia mhemko kuomba kitu cha maisha!, mume ni wakuja kuishi nae ndani na nje lazima muwe wote serious!..
siku yako yakuzaliwa isikufanye tu ndo utafute huyo mume!, ila yote kwa yote nikutakie heri ya kuzaliwa maisha mema na mafanikio yenye baraka bila kusahau watoto wazuri wenye afya ya akili na mwili.
Huu utani mkuu! Hivi mtu anatafuta mchumba jf kweli? Unakuta n mwanaume anataka kuwa piga maboya
 
Huu utani mkuu! Hivi mtu anatafuta mchumba jf kweli? Unakuta n mwanaume anataka kuwa piga maboya
akiwa serious mtu anapata wana jf ndio haohao watu wanaopatikana mtaani mkuu...
 
akiwa serious mtu anapata wana jf ndio haohao watu wanaopatikana mtaani mkuu...
Mkuu nishawahi, kupata kama mbili hivi moja nyembamba, nyingine toto inamakalio kama land-rover ya masawe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom