henrykilenga
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 294
- 299
Ohoooooo dona kantry boy
😂😂Ww haupo serious ninavyojua Aliekua serious yupo mtaan anasimamisha wanawake kama trafic
Dah....Njoo Pm
Ambaruti atafaa zaidi maana atapata kila kituMchukue Wema nadhani atakufaa
Akipata asiyependa ngono ataanza kulalamikaDah.... wanaume tuko tofauti Sana...
Ujinga/ naitaji mtu ambae atakuwa arusha wamawake wa arusha wengi wanaitaji pesa sana na ningeweza kupata ila naitaji mwanamke ambae atanipenda na wala sio kupenda pesa yangu zaidyPOLE sna ndgu ww unafanya kazi za kitalii unazunguka sna maeneo mbali mbali umeshndwa kumpata mke kweli? au unataka mke mwenye pesa sbb weng wanaamini jf watu wote ni wasomi na matajiri.ok kila la kheri
Kumbe makanjanja tuko kibao 😂POLE sna ndgu ww unafanya kazi za kitalii unazunguka sna maeneo mbali mbali umeshndwa kumpata mke kweli? au unataka mke mwenye pesa sbb weng wanaamini jf watu wote ni wasomi na matajiri.ok kila la kheri
😣😣😣😣Hahahaha wafate wakina dogo janja
Hahahaha watu mnamajibu mazito sanakwani wewe unataka anaependa kulima?
Yule sina ishu nae tena.😅😅madame nakusemelea kwa shemela aisee..
JeeDah....
Yule sina ishu nae tena.
Nishapata mpya, ananipa penzi mpaka nalala ndani ya mashine
Njoo Pm
NASHUKURU MPAKA SASA WANAWAKE WALIO NIFATA PM WAKO 50
sasa naendelea kuasiliana nao taratibu kisha nazani nitakuwA nimepatA ninacho kitaka asanten sana wanawake mlio jitolea kuja
PM NA KUONESHA HALI YA UITAJI
MBARIKIWE NA PIA WEWE PIA KAMA NI MWANAMKE UNAWEZA KUJA PM TYKAENDELEA KUJUANA ZAIDI NA PIA
NIKISHA MPATA NATAFUNGA HARAKA NDOA NAE KISHA TUTAKUJA PAMOJA HAPA KUTOA SHUKRANI ZENU HAKIKA JF NI NZURI SANA ,
Kati ya hao 50 wanawake ni 8 na hao 42 waliobaki ni wanaume na wengi wao ni watu wa kitengo ila wanajiita majina ya kike.NASHUKURU MPAKA SASA WANAWAKE WALIO NIFATA PM WAKO 50
sasa naendelea kuasiliana nao taratibu kisha nazani nitakuwA nimepatA ninacho kitaka asanten sana wanawake mlio jitolea kuja
PM NA KUONESHA HALI YA UITAJI
MBARIKIWE NA PIA WEWE PIA KAMA NI MWANAMKE UNAWEZA KUJA PM TYKAENDELEA KUJUANA ZAIDI NA PIA
NIKISHA MPATA NATAFUNGA HARAKA NDOA NAE KISHA TUTAKUJA PAMOJA HAPA KUTOA SHUKRANI ZENU HAKIKA JF NI NZURI SANA ,
Sasa hao wanaume ni wazima kweli hakika huu ni msibaKati ya hao 50 wanawake ni 8 na hao 42 waliobaki ni wanaume na wengi wao ni watu wa kitengo ila wanajiita majina ya kike.