Natafuta mchumba seriously!!

Natafuta mchumba seriously!!

Wewe upo "Yaenda" bibie, anatafuta wale wa matawi ya juu. Utakomaje mwaka huu, he he he...!.

ona sasa.....nyie ndio mnaonivurugiaga mambo yangu.......ole wako kidege kipeperuke...........
 
Ah!!!!! ndugu yangu huna maoaji,mchagua jembe si mkulima naona kama unatujoki tuu,yaani sisi tuishio huku Nyaminywili ndio hatukufai au hututaki mpaka umpate aliopo huko maulaya, mimi nipo tayari kiasi cha wewe kunitumia Visa tu then nitakapofika mwenyewe utaona majambozzzz.
 
Ah!!!!! ndugu yangu huna maoaji,mchagua jembe si mkulima naona kama unatujoki tuu,yaani sisi tuishio huku Nyaminywili ndio hatukufai au hututaki mpaka umpate aliopo huko maulaya, mimi nipo tayari kiasi cha wewe kunitumia Visa tu then nitakapofika mwenyewe utaona majambozzzz.

Ukisema majambozz unamaanisha nini ndugu?
 
ona sasa.....nyie ndio mnaonivurugiaga mambo yangu.......ole wako kidege kipeperuke...........

Na huenda kidege kikatua kwenye nyaya ya umeme licha ya kupeperuka!
 
Kuna dada yuko manzese anapenda sana mume toka ughaibuni na ni mchapakazi haswaa anauza supu ya mapupu pale brt stand manzese. U ready?
 
Kuna dada yuko manzese anapenda sana mume toka ughaibuni na ni mchapakazi haswaa anauza supu ya mapupu pale brt stand manzese. U ready?

Inakuwaje wewe umuachie dada mchapa kazi tena anayeuza Soup sijui ya nini....?
 
Anamaanisha open and enter majambozz, kama mapenzi ya kuku.

samahani najaribu tu kufafanua.............

Sasa kwa nini muhusika asitufafanulie mwenyewe
 
Niko Scandinavia, na nitafurahi kupata mwanamke aliyeko huku tuwasiliane ili tuone tutafikia wapi. Ningependa kupata mwanamke mwenye kujitambua, mwenye elimu/kazi/biashara yake ama hata mwanafunzi, kati ya miaka 22- 38, awe anaishi kati ya Denmark, Finland, Norway, Germany, Austria, Sweden, Holland, Greenland, Luxembourg, France, Iceland, Ireland/UK. Ikishindikana itakuwa vyema kupata mtu hata aliyeko Australia, Canada, New Zealand ama USA.


Asenti.

Nami naomba kuliza umri wako, kabila lako, je uliwai kuoa, je una watoto, nchi unayoishi huko?
Kama mmasai nianze kujifunza kupika chakula cha kimasai,,,,
 
Nami naomba kuliza umri wako, kabila lako, je uliwai kuoa, je una watoto, nchi unayoishi huko?
Kama mmasai nianze kujifunza kupika chakula cha kimasai,,,,

Uliza inbox. Asenti
 
Whats so special with location mkuu? Mbona hata walio huku majuu kama wa Tz tu brother?
 
Ili apate urahisi wa kuonana naye!

Mmh hakuna hicho kitu siku izi kuna skype, tango, viber n so forth. Haya kila la kheri ila ukikuta mdada wa huku wengi washapitiwa na mijamaa ya west africa te te te inawapendajeee
 
Mmh hakuna hicho kitu siku izi kuna skype, tango, viber n so forth. Haya kila la kheri ila ukikuta mdada wa huku wengi washapitiwa na mijamaa ya west africa te te te inawapendajeee

Ni kupata urahisi wa kuonana, na si kuwasiliana kwa interactive networks. Thank you for the input
 
Back
Top Bottom