Du!! Umenichekesha kweli bro!! Ila swali lako zuri sana.Uko na bikira zote mbili? Kama zote mbili zipo nijulishe nianze mchakato
Kuweza kumaintain hela si kazi ndogo kama reasoning ni ya ovyo... N tuwe wakweli hakuna good life bila pesa, itabaki mawazo tu na majungu kila siku... afu still kua na reasoning nzuri si lazima mtu awe kamaliza advanced diploma au degree, wapo waliomaliza ila in reality ni vilaza tu....Ivi good life ni pesa pekee....la...
How about reasoning?
Bila pesa kuna maisha gani sasa hapo? na si kwenye nchi zetu maskini, nje watu wako serious kwenye kutafta pesa na wanajua sana tu kua bila pesa maisha hayaendi asikudanganye mtu nimekaa sehemu nyingi nimeona.. Hayo maneno ati maisha mazuri si pesa hua ni ya maskini kujifaruji tu, au kupiga kelele daily ati wote tutaenda kaburini, hilo tunalijua ila maisha bila pesa ni matatizo tu..Hili ni tatizo sana katika nchi zetu masikini. Kila mtu anaona pesa nyingi ndo good life...
Du!! Umenichekesha kweli bro!! Ila swali lako zuri sana.
Uko na bikira zote mbili? Kama zote mbili zipo nijulishe nianze mchakato
Unamiaka 30. Uliokulanae ujana wako yuko wapi?
Hahahahahaha usiniue mbavu zangu mie
Miaka 30 bado haujaolewa!!!!!!
Wanawake wabichi kila siku wanazaliwa tuje kwa 30..
Wewe shughuli yako imekwisha. .Itabidi ubakie kutoa msaada kwa wanaohitaji michepuko..
Wana JF namimi natafuta rafiki wa kiume kwa lengo la kuwa na mahusiano yenye kuelekea uchumba.
WASIFU WANGU
UMRI:30
DINI:MKkristo
ELIMU: Degree ya kwanza
KAZI:Mwajiriwa
NAPENDELEA:Kuangalia movies, kusikiliza nyimbo/ kusoma tenzi zake na kusafiri.
NAYEMTAFUTA
UMRI:Kuanzia miaka 34 na kuendelea, awe Mkristo, Elimu kuanzia Advanced diploma na kuendelea. Awe ameajiriwa au amejiajiri shuguli halali na pia awe anaishi DAR.
Ni PM kama tu upo serious.
Uko na bikira zote mbili? Kama zote mbili zipo nijulishe nianze mchakato