TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,786
- 2,102
Miaka 30 bado haujaolewa!!!!!!
Wanawake wabichi kila siku wanazaliwa tuje kwa 30..
Wewe shughuli yako imekwisha. .Itabidi ubakie kutoa msaada kwa wanaohitaji michepuko..
Huna vigezo we kazee
Miaka 30 bado haujaolewa!!!!!!
Wanawake wabichi kila siku wanazaliwa tuje kwa 30..
Wewe shughuli yako imekwisha. .Itabidi ubakie kutoa msaada kwa wanaohitaji michepuko..
Sijui Watu Wanamatatizo gani na Umri ? Umri ni namba tu nyie ndio mnaofanya Wanawake Wengi Waolewe hata na Magumegume eti kukimbizana na Umri ?? kitu gani Bwana Huyo Dada Miaka 30 bado Mdogo Mno kwa karne ya leo na Umri huo ndio wanaotuliaga na Ndoa zao , chunguza asilimia nyingi walioingia Ndoani kwenye 20's wote wamerudi Single , acheni kukatisha Wanawake Tamaaa
Miaka 30 bado haujaolewa!!!!!!
Wanawake wabichi kila siku wanazaliwa tuje kwa 30..
Wewe shughuli yako imekwisha. .Itabidi ubakie kutoa msaada kwa wanaohitaji michepuko..