Njoo kwangu Fide nikupe poza la moyo mpenzi huyo "wifi" alikuwa msanii tu hana lolote hiyo figa 8 aliyokuwa anasema si ajabu ni 9 au 1 kabisa
Poleee samaki poleee kwa kuchanganywa changanywa na wifi hewa
Jamani mweleweni mwenzenu kasema waliachana au Mungu hakupenda so ndoa hakuna tena ndo maana yuko hapa kikazi zaidi kuhakikisha anapata soul mate wake. Jamani as it is, whatever happened, i can imagine the state of this lady at the moment. so please please kuweni serious, msiendelee kumuumiza jamani. niko kiutu zaidi, or call it girl support huh!
Hivi ni wewe akilikichwani au mwingine. kumbe sometimes una akili kweli na namna hii, yani point tupu tangu mwanzo hadi mwisho. Umenifurahisha kweli leo kunywa banta baridi hapo ulipo kwa afya yangu.camel.
kama kweli ndoa ilikuwa ifungwe february hii 2010, na kagundua february hii kuwa hakuna ndoa tena, kweli inauma sana na unaweza kuchanganyikiwa kabisa maishani mwake kama Mungu hatakufunika na rehema zake.
namashauri aache hatua za zimamoto kukabili hali ya kuvunjika uchumba iliyompata, badala yake atulie na kutafakari yaliyotokea. kama ni yeye ndiye aliyejikwaa, amrudie Mungu na atubu dhambi zake na kumwomba msamaha mchumba wake (japo awez kuwa na hasira sana naye). kama si yeye mwenye makosa, basi yote amwachie Mungu, asihukumu (ili asije kuhukumiwa), atulie na azidi kumuomba Mungu atampa mchumba mwingine.
nionavyo mim kama ni kweli uchumba umevunjika ghafla, basi anachukua hatua za pupa sana
otherwise asichezee watu akili hapa JF!
TISS wanaendelea ku-update taarifa zao..
[B said:Nkashilingi[/B];781700]Hello wana jamii, sio masihara jamani hapa najua wote ni watu wazima na wenye akili timamu.
Wasifu wangu.
Jinsia-Kike
Umri-29
Elimu-ya chuo naamanisha graduate
Rangi-kahawa
umbo-No 8 mnene
Dini-Christian
pombe-naonja
kabila-chaga
Ni mwajiriwa kwenye sekta binafsi na mshahara wa kawaida, mambo mengine tutafahamishana kama kutakuwa na maswali zaidi,
wasifu ninaopendelea.
Jinsia-Mwanaume
jisia-30-45
Elimu-lazma awe ni graduate na kuendelea,
Dini-mkistu
Awe mpenda maendeleo, na pia awe ni mtu anaemjua mungu.
Ni hayo tu kwa maswali zaidi waweza kuni email glory.gregory@yahoo.com
naomba kuwasilisha.
Jina: NkaSHILINGI
Kabila: Mchagga
Mimi simo hapo kabisa
Hahahaha mpwa mm nimejitoa mhanga hapo nakufa nae.
Nampango baada ya tar.13/Feb Valentine tunaenda kula Unguja.
Najua watafuta kula jicho weye hahahahah ila Shillingi uwe nazo
Niko allergic na mademu wa kichagga!
Hahahaha naomba wimbo wa Pole samaki nilikuwa nakusubili kwa hamu DJ.
Niko allergic na mademu wa kichagga!
Wanakufanyaje wanakupa ugonjwa wa ngozi au flu au kuwashwawashwa au chafya nyingi au vipi???? Tufafanulie
Hahahahahah naona soni kuandika
Mambo ya mtarimbo.......shapeless etc etc
Dj tafadhali nami naomba wimbo wa :nipigieeeeeeeeeeeeee mpenzi nipigieeeeeeeeee!