Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Kila mwamba ngoma ngozi huvutia kwake......hizo idara ni zipi? maana kuna departments nyingi
Wenyewe hawa wanajua kweli kujiexpress?
Kila mwamba ngoma ngozi huvutia kwake......hizo idara ni zipi? maana kuna departments nyingi
Wenyewe hawa wanajua kweli kujiexpress?
mmmh......ngoja nikasikilize samaki mie
facebook ni nini?
Sorry nimekosea njia!
facebook ni nini?
Sorry nimekosea njia!
usijali watz huwa ni wakarimu hata kama umekosea huwa unaelekezwa
usijali watz huwa ni wakarimu hata kama umekosea huwa unaelekezwa
Nimeipenda hiyo! uko tayari?
Jaribu kugonga hapa www.facebook.com utaelewa tu mama
karibu kwani waelekea wapi weye
Naelekea kule kule tukale samaki ....
kumbe kula samaki.......... weye wala ngadu,kibua,changu au ngisi?
Nala wote isipokuwa Ngisi.....na wengine majicho yao nala....na vichwa nawapa paka.....
Nala wote isipokuwa Ngisi.....na wengine majicho yao nala....na vichwa nawapa paka.....
alaaaaa........chukuchuku au walotiwa nazi?
Is this the specification of a machine [equipment] or homosapien male????Hello wana jamii, sio masihara jamani hapa najua wote ni watu wazima na wenye akili timamu.
Wasifu wangu.
Jinsia-Kike
Umri-29
Elimu-ya chuo naamanisha graduate
Rangi-kahawa
umbo-No 8 mnene
Dini-Christian
pombe-naonja
kabila-chaga
Ni mwajiriwa kwenye sekta binafsi na mshahara wa kawaida, mambo mengine tutafahamishana kama kutakuwa na maswali zaidi,
wasifu ninaopendelea.
Jinsia-Mwanaume
jisia-30-45
Elimu-lazma awe ni graduate na kuendelea,
Dini-mkistu
Awe mpenda maendeleo, na pia awe ni mtu anaemjua mungu.
Ni hayo tu kwa maswali zaidi waweza kuni email glory.gregory@yahoo.com
naomba kuwasilisha.