Kaka Mpendwa
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 772
- 415
Anaongea huyo!
umejuaje?? unanisingizia tu
Anaongea huyo!
hili suali huwa nilishawahi kuliuliza,huwa hatupewi matokeo kabisa.huwa na mimi napenda kujuaMUNGU AKUSAIDIE UPATE HITAJI LA MOYO WAKO......
ILA SAMAHANI NDUGU ZANGU HIVI KUNA MTU KAWAHI KUFANIKIWA KUPATA MCHUMBA HUMU NA KUFIKIA NGAZI YA NDOA????? AU WATU WANAKUWA WANATANIA TU..........MANAKE mmmm!!!!!!.
Kwanzia leo usiongee tena na mimi!we hujui?
all the best ,maadamu umetangaza nia utafanikisha.Naitwa Amina,naishi dar,umri wngu miaka 26, ni muislamu,sijaolewa wala sijazaa,natafuta mchumba ambae atakuwa mume wangu, mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 35,awe mcheshi,mwenye hekima,mpole, awe anafanyakazi,awe mweupe,smart,mrefu kiasi,aliyetayari kupima,awe muislamu,yoyote aliyetayari tafadhali tuwasiliane.
Kwanzia leo usiongee tena na mimi!
Kwanzia leo usiongee tena na mimi!
Kama yalivyo maongezi mengi hapa ni utani!Usichukulie kama tunagombana jamani!sema nisikuandikie, sio nisiongee na wewe..hata namba yako ya simu sina! na kwanini unafikia uamuzi huo? any way. umeamua? back to the topic
Amina inabidi ujitokeze utetee ombi lako hapa
Ulikuwa unaongea nae nini??:tongue:
Kama yalivyo maongezi mengi hapa ni utani!Usichukulie kama tunagombana jamani!
Nshasahau tayari!
........Mambo ni magumu sana, uko mjini hadi umri huo! Na bado wamtafuta mwanaume kwa masharti magumu hivyo? Anagalia umri ni mkubwa dada yangu punguza masharti, vinginevyo uombe mtu afiwe na mke ndo utapata wa umri wako, hawa waliopo watakuchakachua,.MUNGU AKUSAIDIE UPATE HITAJI LA MOYO WAKO......
ILA SAMAHANI NDUGU ZANGU HIVI KUNA MTU KAWAHI KUFANIKIWA KUPATA MCHUMBA HUMU NA KUFIKIA NGAZI YA NDOA????? AU WATU WANAKUWA WANATANIA TU..........MANAKE mmmm!!!!!!.
Naitwa Amina,naishi dar,umri wngu miaka 26, ni muislamu,sijaolewa wala sijazaa,natafuta mchumba ambae atakuwa mume wangu, mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 35,awe mcheshi,mwenye hekima,mpole, awe anafanyakazi,awe mweupe,smart,mrefu kiasi,aliyetayari kupima,awe muislamu,yoyote aliyetayari tafadhali tuwasiliane.
matangazo yakutafuta wenza yanawekwa kila siku na sio jambo baya tatizo sijawahi kuona hata mmoja akirudi kutuambia kapata mwenza.
sasa najiuliza huwa hawapati au wanapata lkn hawaoni sbb za kurudi kututaarifa na kuishukuru jf kwa ujumla au ni vipi?
pamoja na hayo kila la kheri mtoa mada mungu ajibu haja ya moyo wako.