Natafuta Mchumba/Mme

Ameanzia juu sana umri, ni namba tu, hao anaowatafuta unazani atapata kwa umri mtu bado hajaoa labda aliyefiwa na mkewe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ashuke kidogo kuanzia kwenye 25..... aone pm itakavyo jaa
 
Njoo pm tuzungumze
 
Je sie tusokuwa na Dini hatuna nafasi?

vp kuhusu tuloishia Darasa la nne la mkoloni ?

Hakunaga kasecond selectin? akikosekana wa chuo
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
same as me kska
 
Kila la kheri. Ila usisahau kuwa mwangalifu.
 
Inawezekana kabisa ila kesi iko kwenye kubaini nan anafaa.maana maomba yatakuwa mengi sana.
 
Din?
 
Aisee dada una bahati sawa na kuokota nyumba.
Ngoja nije private kabisa maana fursa haziji mara mbili jamani Mungu anipe nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…