Natafuta mchumba (male) muislam

Natafuta mchumba (male) muislam

Ninakutakia mafanikio Shemeji yangu mtarajiwa
 
Mi nafaa lakn umekuwa mbaguz mno kias kwamba cku nkija kupoteza CFA mojawapo mf.kaz bac mapenz ya dhat hayatokuwepo tena.
 
Kwa uzuri wao
Kwa mali zao
Kwa nasaba zao
Kwa dini zao
 
Habar ndugu zangu!

Kichwa cha habari hapo juu chahusika, mimi ni bint wa miaka 21yrs nipo dar,
ni mwanachuo wa mwaka wa2,
sio mrefu sana wala co mfup pia mwembamba, rangi maji ya kunde

sifa za nimtafutae
miaka 23-27
awe mfanyakazi au mfanyabiashara
awe mkazi wa dar
mkweli, mkarimu na anaejali,
lazma we muislam mwenye hofu na mungu
mpenda maendeleo

NB:kwa aliye na nia tu ani PM
matus sihitaj tafadhal.
Thanx.

Weka picha please
 
Unataka wa kuchuna sio, nakuhakikishia utaliwa wewe maana umetaka wa kumla.
 
Je wewe si miongoni mwa watoto wa mama Salma? Sifa zote ninazo, so kama vipi njoo uwe mke wa pili upate Nusra ya kweli @
 
Majungu sio mazur jaman wale wote mnaosema natafuta kusomeshwa cjui kuchuna muwe mnawaza mara2 2 kabla ya kuropoka me cna njaa kama mnavyofkiria ndo maana nkasema mwanzo km huna nia pita mbaliii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom