The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,433
- 13,417
Huu si ukabila bali preference ,haya makabila mawili wakae pembeni pia anaeona amekulia moshi au bukoba ajue naye atafyekelewa mbali ,kama amewahi kunywa gongo za bukoba au mbege naomba afanye kama anajikuna nitashuka na sampuli hiyo mzima mzima.
wenu mtiifu,
The only man in Tanzania .
Hii nayo ni thread
wenu mtiifu,
The only man in Tanzania .
Hii nayo ni thread