Hiyo ni lugha tu mkuu haina uhusiano na mada yangu. Kwa hiyo ningeandika "hello" waingereza wangekuja kunijibu? Let's be serious sometimes when it comes to serious matters and not to clog a thread with out-of-topic replies.
Habari ndugu. Kwa uelewa wangu, hakuna specific mbegu kwa ajili ya microgreens. Ni hizo hizo tunazotumia kupanda hadi mazao yakakomaa ila unawahi kuvuna pale inapochipua.
Habari ndugu. Kwa uelewa wangu, hakuna specific mbegu kwa ajili ya microgreens. Ni hizo hizo tunazotumia kupanda hadi mazao yakakomaa ila unawahi kuvuna pale inapochipua.
Asante sana. Nilifikiria pia kwa namna hiyo lakini kwa vile mimi nilikuwa nimejikita kwenye ufugaji miaka ya nyuma nikasema nije hapa kuuliza. Labda nifanye majaribio kuona zipi zina germination period fupi maana nimejaribu kuuliza maduka ya Arusha hakuna mwenye hizo ambazo mitandaoni zinatangazwa kama microgreens. Ninakushukuru sana kwa mchango wako. Kama kuna la ziada umaweza kunijuza. Asante sana!