MorogoroWaungwana kwema? Nataraji sikukuu yaenda vyema kabisa.
Ninahitaji matofali ya kuchoma kwa Dar es salaam wapi naweza pata? Ni haya matofali ya kuchoma ya kawaida kabisa Kama tunayotumia kujengea vijijini, msaada wakuu.
Niwatakie sikukuu njema.
Nenda Morogoro yapo mengi sana,Waungwana kwema? Nataraji sikukuu yaenda vyema kabisa.
Ninahitaji matofali ya kuchoma kwa Dar es salaam wapi naweza pata? Ni haya matofali ya kuchoma ya kawaida kabisa Kama tunayotumia kujengea vijijini, msaada wakuu.
Niwatakie sikukuu njema.
Thanks Mkuu, wazo zuri sema nataka kidogo tu kama alfu au alfu unusu yaani. Shida tupu hiiNenda Morogoro yapo mengi sana,
waweza kuyanunua kwa 200/= each then ukayakodia Fusso kwa hata 200,000 - 250,000 ukayajaza ya kutosha tu humo ndani.
Mfano tofali 10,000 xTshs 200 = 2,000,000
Usafiri total Tshs 250,000
JUMLA Tshs 2,250,000
Hivi vitofali ni vidogo aisee, tofali alfu unajengea nini Mkuu??Thanks Mkuu, wazo zuri sema nataka kidogo tu kama alfu au alfu unusu yaani. Shida tupu hii