Natafuta mashine ya kukata Crips/viazi

Natafuta mashine ya kukata Crips/viazi

Azul

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2021
Posts
739
Reaction score
1,568
Habari ya leo Jumapili,

Natumaini tuko sawa wote, wenye changamoto zozote poleni sana.

Natafuta mashine ya kukatia viazi, kwa ajili ya kutengeneza Crips.

Ningependa kujua bei, na inapopatikana au connections yoyote.

Nipo kanda ya ziwa, unaweza kuja DM au sms/text kupitia 0743051733
 
Back
Top Bottom