Mkuu unaweza kuainisha garama?Mkuu twende ukalime Bungu rufiji. Shamba lipo unapewa ulime bure
Wafugaji wengi wao huwa ni wakorofinenda morogoro mashariki wilaya ya ngerengere kijiji cha visaraka kipo pembeni na mto ngerengere ,changamoto ni wamasai tuu
Mkuu twende ukalime Bungu rufiji. Shamba lipo unapewa ulime bure
Kuna ushwahili huko htr yaan ukanda huo noma niliwahi lima matango heka mbili nilipata roba moja tu
Sent using Jamii Forums mobile app

kivip kilimo chako kimeharibiwa na waswahili mkuu umenichekeshaa kwanza uliposema ulipata roba mojaakivip kilimo chako kimeharibiwa na waswahili
Sent using Jamii Forums mobile app
huko hapafai..kuna ushirikina sana...nililima heka mbili za mahindi..asee huwezi amini niliambulia Gunia moja na robo...kuna jamaa ndio akaja niambia kuwa ni ngumu kwa mtu wa kuja kutoboa eneo hilo.Mkuu twende ukalime Bungu rufiji. Shamba lipo unapewa ulime bure
Mkuu hayo maeneo ya rufiji kuna uchawi htr kwenye maswala ya kilimo ww uliza tu wanaolima mpunga au ufuta kwenye maeneo hayo wanavyolia ila kama ukijipanga vzr pia usitafute kibarua wa kule utalia watu wa kule wavivu kiwango cha lami wanapenda kuchoma mkaa tu na si kilimo. wanapenda pesa mnooooo kitu kidogo tu pesa, ila ardhi yao nzr mnooooo maana haijaguswa kabisa na ina rutuba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ushwahili huko htr yaan ukanda huo noma niliwahi lima matango heka mbili nilipata roba moja tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hayo maeneo ya rufiji kuna uchawi htr kwenye maswala ya kilimo ww uliza tu wanaolima mpunga au ufuta kwenye maeneo hayo wanavyolia ila kama ukijipanga vzr pia usitafute kibarua wa kule utalia watu wa kule wavivu kiwango cha lami wanapenda kuchoma mkaa tu na si kilimo. wanapenda pesa mnooooo kitu kidogo tu pesa, ila ardhi yao nzr mnooooo maana haijaguswa kabisa na ina rutuba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nililima ufuta kwa miaka 3 Tena eka 4... ahahaaa,nilikuwa naambulia klo 60 adi 100...Kilwa nyoookoo Sanaa,Ila sitakata tamaa najipanga mwakani nizame Tena porini
huko hapafai..kuna ushirikina sana...nililima heka mbili za mahindi..asee huwezi amini niliambulia Gunia moja na robo...kuna jamaa ndio akaja niambia kuwa ni ngumu kwa mtu wa kuja kutoboa eneo hilo.