Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,755
Kaa utulie.Sawa ila kwann mnashindwa kuelewana
Kaa utulie.Sawa ila kwann mnashindwa kuelewana
Nimemkumbusha kijana tu , hana hata comments moja ya maana kila anapopita yey ni mtu wa league.Sawa ila kwann mnashindwa kuelewana
Huwez kunisumbua hata siku moja , nimejaribu kukupa ushauri nilidhani wew unautoto tu lakini nimegundua unamatatizo ya kudumu na hii ndio comment yangu ya mwisho kukuhusu wew , siwezi kukupa muda wangu mtu kama wewe unisumbue kwa lipi you need to grow up.Wewe na Mods nani mwenye akili, hii JF ina sheria zake kama unaona bado nipo huku sipewi Ban basi jua sijavunja sheria.
Na nitazidi kukusumbua sana kumba unakaa humu kuona nafanya nini! Mjinga wa Akili wewe.
Usihangaike kupoteza muda kutoa ushauri kwa mtu anayejua nini anafanya.Huwez kunisumbua hata siku moja , nimejaribu kukupa ushauri nilidhani wew unautoto tu lakini nimegundua unamatatizo ya kudumu na hii ndio comment yangu ya mwisho kukuhusu wew , siwezi kukupa muda wangu mtu kama wewe unisumbue kwa lipi you need to grow up.
Mkuu umepata hao marafiki wangapi? Maana mi Niko kuwavizia saivi nmepata wanne kupitia Uzi wakoHabri wanajf mm nikijana wa miaka 25 natafuta marafiki wakike waliotayari katika kushauriana kuwasiliana na kusaidiana awe na umri kuanzia 19 hadi 23
Big up sana mkuu,binafsi naona katika coment zako nyingi huwa hukusudii vile ambavyo jamaa anakutafsiri kabisa.Wewe na Mods nani mwenye akili, hii JF ina sheria zake kama unaona bado nipo huku sipewi Ban basi jua sijavunja sheria.
Na nitazidi kukusumbua sana kumbe unakaa humu kuona nafanya nini! Mjinga wa Akili wewe.
Nikweli ila uwez jua wanabifu lao LA pmbenBig up sana mkuu,binafsi naona katika coment zako nyingi huwa hukusudii vile ambavyo jamaa anakutafsiri kabisa.
Labda tu jamaa katafsiri vibaya nadhani mfahamishe tu mkuu sisi wengine mbona tunakuona mtu poa tu
Nikweli ila uwez jua wanabifu lao LA pmben
Kiasi usinielewe ndugu , nauliza hivi huyo katika profile picha ni wewe ??Cjakuelewa
We ni msukumaNi mm ila picha ya mda mrefu san
Hio picha inatoa maelezo mengi mkuuHapan kwann
Asante nmekuelewaHio picha inatoa maelezo mengi mkuu
Anyway humu tunatumia id fake hata picha zetu ni fake huoni kama kuna sku itakuumbua hio picha kwa vitu utavyoweza ku post
Sikushauri sna kutumia ur real picture but uamuzi ni wako kaka
Enjoy........