Nna shost anafanya hiyo mishe dar ..anajua mno kupika na ana passion mnoo...baht mbaya alipata majanga ..Kama uko tayari nikuunge naye .hutojuta!Awe Dar es salama
Haa 😄😃Nna shost anafanya hiyo mishe dar ..anajua mno kupika na ana passion mnoo...baht mbaya alipata majanga ..Kama uko tayari nikuunge naye .hutojuta!
Huyu bibie nilinmulia kofia..lol..kilakitu connection..ni mamantilie wa kishua haswa!Haa 😄😃
Unafanya ~ Connection
Nimependa Hapo Hatajuta Yaani Kama Rais Wetu Asemavyo Tuchape Kazi. Maendeleo Hayana Chama
Tunasonga MbeleHuyu bibie nilinmulia kofia..lol..kilakitu connection..ni mamantilie wa kishua haswa!
TUMETHUBUTU TUMEWEZA tunatekeleza🗣
Tunasonga Mbele
Kishindo Cha Awamu Ya Tano
Mafiga Matatu
Rais, Mbunge, Diwani
Huyo anahitaji mtaji kiasi gani tuingie ubia?Nna shost anafanya hiyo mishe dar ..anajua mno kupika na ana passion mnoo...baht mbaya alipata majanga ..Kama uko tayari nikuunge naye .hutojuta!
Haahhaa ubaya ni mzuri...ntaongea nayeHuyo anahitaji mtaji kiasi gani tuingie ubia?
Ila mambo ya malipo kwa kugegedana mie sitaki🤣🤣🤣
Haahhaa ubaya ni mzuri...ntaongea naye
Hahhaa....wanaume Mungu awasaidie Sana aisee🙌🎶Ah kama mzuri ndio inapendeza maana unajua tena uzuri wake ndio utavutia wateja...ata mie mwenyewe nitakuwa myeja wake especially kama kuna bonge la vibration huko nyuma
Hahhaa....wanaume Mungu awasaidie Sana aisee🙌🎶
😄😄😄😄🙌Atusaidie mara ngapi wakati kuwaweka nyie warembo ndio msaada mkuu aliotupatia
Natafuta mtu anaefanya biashara ya mama ntilie anaeijua na kuipenda kazi yake anaetamani kukuza biashara yake ila amekosa mtaji tuingie makubaliano tufanye kazi.
Naomba uwe mwaminifu na mwenye hofu ya Mungu. Tafadhali mwenye uhitaji anitafute PM.